Tuesday, September 7, 2010

012

Rangi huwa zinapofua macho,
Na sauti huleta uziwi.
Viungo huwa zinafifisha ladha kwenye ulimi.
Mawazo hudhoofisha akili.
Matamanio huukausha moyo.

Mwalimu huiangalia dunia, lakini huamini zaidi anachokiona ndani yake.
Huruhusu vitu kuja na kuondoka.
Moyo wake ni wazi kama vile anga ilivyo.

AYA ZA MTAWA
[ Tao-Te-Ching ]

No comments:

Post a Comment