Monday, September 6, 2010

033

Kuwajua wengine ni kuwa na akili,
lakini kujijua mwenyewe ni busara na hekima.
Kuwaamuru wengine ni nguvu na uwezo,
kujiamuru mwenyewe ni dhima na mamlaka.

Ukitambua una kila kitu unachokihitaji katika maisha yako, basi hakika wewe ni tajiri.
Ukikaa katikati na kukumbatia umauti basi budi utaishi milele.

AYA ZA MTAWA
[ Tao-Te-Ching ]


Copyright © Sammy Makilla-2010

No comments:

Post a Comment