Tao adhimu inaposahaulika,
wema na ucha Mungu huonekana.
Uwezo wa kiakili unapopungua,
werevu na maarifa hupatikana.
Panapokosekana amani katika familia, upendo katika familia huanza.
Nchi inapoingia katika machafuko,
mbegu za uzalendo huanza kupandwa.
AYA ZA MTAWA
[ Tao-Te-Ching ]
Tuesday, September 7, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment