Kutokujua ndio pekee maarifa ya kweli.
Kujifanya unajua ni maradhi.
Kwanza tambua wewe ni mgonjwa:
na kisha unaweza kuelekea kwenye afya na uzima.
Gwiji ni tabibu kwake yeye mwenyewe.
Amekwishajiponya na kujua kwa aina zote.
Kwa hiyo ni mzima kamili.
AYA ZA MTAWA
[ Tao-Te-Ching ]
Copyright © Sammy Makilla-2010
Saturday, September 4, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment