Saturday, September 4, 2010

071

Kutokujua ndio pekee maarifa ya kweli.
Kujifanya unajua ni maradhi.
Kwanza tambua wewe ni mgonjwa:
na kisha unaweza kuelekea kwenye afya na uzima.

Gwiji ni tabibu kwake yeye mwenyewe.
Amekwishajiponya na kujua kwa aina zote.
Kwa hiyo ni mzima kamili.

AYA ZA MTAWA
[ Tao-Te-Ching ]


Copyright © Sammy Makilla-2010

No comments:

Post a Comment