Wakishaachwa kushangaza na watu na vitu,
watu hukimbilia kwenye dini.
Wakati huwa hawawezi tena kujiamini,
huanza kuitegemea serikali.
Kwa hiyo gwiji hurudi nyuma
ili watu wasichanganyikiwa.
Huelimisha bila ya kufundisha,
ili watu wasiwe na chochote cha kujifunza.
AYA ZA MTAWA
[ Tao-Te-Ching ]
Copyright © Sammy Makilla-2010
Saturday, September 4, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment