Sunday, September 5, 2010

046

Nchi inapokuwa na maridhiano yenyewe kwa yenyewe,
basi viwanda hutengeneza malori na matrekta.
Wakati nchi naenda kinyume cha Tao
mabomu na makombora hulundikana kwenye viunga vya miji mikubwa ya nchi hiyo.

Hakuna kitu kisicho cha kweli kama vile UOGA,
na hakuna kosa kubwa kama kuanza kujiandaa kujilinda wewe mwenyewe,
na hakuna nuksi kubwa kama kuwa na adui.

Yeyote anayeweza kuona hadi ndani ya uoga sikuzote atakuwa salama.

AYA ZA MTAWA
[ Tao-Te-Ching ]


Copyright © Sammy Makilla-2010

No comments:

Post a Comment