Tuesday, September 7, 2010

019

Tupilia mbali utakatifu na busara,
na watu watakuwa na furaha mara mia zaidi.
Tupilia mbali unyoofu na sheria,
na watu watafanya kilicho sahihi.
Tupilia mbali viwanda na faida,
na wezi hawatakuwepo tena.

Kama hivi vitatu havitoshi,
Basi kaa katikati ya mdurara
na kisha achia kila jambo kufuata mkondo wake.

AYA ZA MTAWA
[ Tao-Te-Ching ]

No comments:

Post a Comment