Mwalimu anapotawala watu
wengi wao huwa hata hawajui kama yupo.
Anayefuatia ni kiongozi anayependwa na watu wake.
Kisha anayefuatia, ni yule anayeogopwa na watu wake.
Kiongozi ovyo zaidi ni yule anayechukiwa na watu wake.
Kama huwaamini watu wako,
basi unawafanya wawe watu wasioaminika.
Mwalimu hazungumzi, hutenda.
Kazi yake inapokamilika watu husema:
" Ajabu, tumefanya mambo yote haya sisi wenyewe !"
AYA ZA MTAWA
[ Tao-Te-Ching ]
Tuesday, September 7, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment