Tao haifungamani na upande wowote,
Huzaa wema na wabaya,
Mwalimu naye hafungamani na yeyote,
huwakaribisha wote,
watukufu na wenye dhambi.
Tao ni kama kiriba:
kwa kawaida ni kitupu lakini kina uwezo wa kufanya kazi kubwa.
Kadri unavyoitumia ndivyo inavyofanya kazi zaidi.
Kadri unavyoizungumzia ndivyo unavyozidi kutoielewa zaidi.
Kaa na shilkilia papo hapo katikati .
AYA ZA MTAWA
[ Tao-Te-Ching ]
Tuesday, September 7, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment