Umaarufu au uadilifu ni kipi kilicho bora ?
Fedha au Furaha: ni kipi chenye thamani zaidi?
Kufaulu au Kushindwa: ni kipi kinachoharibu zaidi?
Ukijifananisha na wengine ili kukamilisha furaha yako,
milele hautokamilisha furaha hiyo.
Ikiwa furaha yako inategemea fedha,
haitokaa uridhike kwenye nafsi yako na kuwa na furaha.
Tosheka na kile ulicho nacho.
Ridhika kwa namna vitu vilivyokuwa,
Unapoona huna kitu unachokikosa basi dunia nzima huwa ni yako.
AYA ZA MTAWA
[ Tao-Te-Ching ]
Copyright © Sammy Makilla-2010
Sunday, September 5, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment