Saturday, September 4, 2010

075

Kodi zinapokuwa juu sana,
watu hulala na njaa.
Serikali ikiwa kizabizabina na kuingilia
sana mambo ya watu watu hupoteza imani yao.

Fanza jambo kwa manufaa ya watu.
Waamini, na kisha waache peke yao.

AYA ZA MTAWA
[ Tao-Te-Ching ]


Copyright © Sammy Makilla-2010

No comments:

Post a Comment