Tuesday, September 7, 2010

04

Tao ni kama kisima cha maji,
Watu hukitumia, lakini watu hawachoti maji kikaisha;
Ni kama anga tupu tusiyoiona ambayo kumbe imejaa kila aina ya vitu.

Imejificha lakini siku zote ipo.
Sijui ni nani aliyeizaa,
lakini hakuna anayeishinda kwa umri !

AYA ZA MTAWA
[ Tao-Te-Ching ]

No comments:

Post a Comment