Tao ni kama kisima cha maji,
Watu hukitumia, lakini watu hawachoti maji kikaisha;
Ni kama anga tupu tusiyoiona ambayo kumbe imejaa kila aina ya vitu.
Imejificha lakini siku zote ipo.
Sijui ni nani aliyeizaa,
lakini hakuna anayeishinda kwa umri !
AYA ZA MTAWA
[ Tao-Te-Ching ]
Tuesday, September 7, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment